Isaya 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Meza na ipangwe, viti vipangwe, kuwe na kula, kunywa!+ Simameni, enyi wakuu,+ itieni ngao mafuta.+ 1 Wakorintho 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ikiwa, kama wanadamu, nimepigana na wanyama-mwitu katika Efeso,+ hiyo ina faida gani kwangu? Ikiwa wafu hawatafufuliwa, “na tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.”+ Yakobo 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ninyi mmeishi katika anasa duniani nanyi mmejiingiza katika tamaa za mwili.+ Mmeinonesha mioyo yenu katika siku ya machinjo.+
32 Ikiwa, kama wanadamu, nimepigana na wanyama-mwitu katika Efeso,+ hiyo ina faida gani kwangu? Ikiwa wafu hawatafufuliwa, “na tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.”+
5 Ninyi mmeishi katika anasa duniani nanyi mmejiingiza katika tamaa za mwili.+ Mmeinonesha mioyo yenu katika siku ya machinjo.+