Danieli 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo Mfalme Belshaza akaogopa sana na rangi ya uso wake ikaanza kubadilika ndani yake; na wakuu wake wakahangaika.+ Danieli 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika mwaka wa kwanza wa Belshaza+ mfalme wa Babiloni, Danieli aliona ndoto na maono ya kichwa chake kitandani mwake.+ Ndipo akaandika ndoto hiyo.+ Akasimulia masimulizi kamili ya mambo hayo. Danieli 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika mwaka wa tatu wa ufalme wa Mfalme Belshaza,+ kuna ndoto niliyoona, mimi, Danieli, baada ya ile iliyonitokea pale mwanzoni.+
9 Kwa hiyo Mfalme Belshaza akaogopa sana na rangi ya uso wake ikaanza kubadilika ndani yake; na wakuu wake wakahangaika.+
7 Katika mwaka wa kwanza wa Belshaza+ mfalme wa Babiloni, Danieli aliona ndoto na maono ya kichwa chake kitandani mwake.+ Ndipo akaandika ndoto hiyo.+ Akasimulia masimulizi kamili ya mambo hayo.
8 Katika mwaka wa tatu wa ufalme wa Mfalme Belshaza,+ kuna ndoto niliyoona, mimi, Danieli, baada ya ile iliyonitokea pale mwanzoni.+