Hesabu 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akasema: “Sikieni maneno yangu, tafadhali. Kungalikuwa na nabii kati yenu kwa ajili ya Yehova, ningalijijulisha kwake katika maono.+ Ningalisema naye katika ndoto.+ Ayubu 33:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika ndoto,+ maono+ ya usiku,Wakati usingizi mzito unapowashika wanadamu,Wakati wa kusinzia kitandani.+ Yeremia 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nabii ambaye ana ndoto, na asimulie ndoto hiyo; lakini yule ambaye ana neno langu, na aliseme neno langu kwa ukweli.”+ “Nyasi ina uhusiano gani na nafaka?”+ asema Yehova. Danieli 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo Danieli akafunuliwa siri hiyo katika maono ya usiku.+ Basi Danieli akambariki+ Mungu wa mbinguni. Danieli 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika mwaka wa tatu wa ufalme wa Mfalme Belshaza,+ kuna ndoto niliyoona, mimi, Danieli, baada ya ile iliyonitokea pale mwanzoni.+
6 Naye akasema: “Sikieni maneno yangu, tafadhali. Kungalikuwa na nabii kati yenu kwa ajili ya Yehova, ningalijijulisha kwake katika maono.+ Ningalisema naye katika ndoto.+
15 Katika ndoto,+ maono+ ya usiku,Wakati usingizi mzito unapowashika wanadamu,Wakati wa kusinzia kitandani.+
28 Nabii ambaye ana ndoto, na asimulie ndoto hiyo; lakini yule ambaye ana neno langu, na aliseme neno langu kwa ukweli.”+ “Nyasi ina uhusiano gani na nafaka?”+ asema Yehova.
19 Ndipo Danieli akafunuliwa siri hiyo katika maono ya usiku.+ Basi Danieli akambariki+ Mungu wa mbinguni.
8 Katika mwaka wa tatu wa ufalme wa Mfalme Belshaza,+ kuna ndoto niliyoona, mimi, Danieli, baada ya ile iliyonitokea pale mwanzoni.+