Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akasema: “Sikieni maneno yangu, tafadhali. Kungalikuwa na nabii kati yenu kwa ajili ya Yehova, ningalijijulisha kwake katika maono.+ Ningalisema naye katika ndoto.+

  • Ayubu 33:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Katika ndoto,+ maono+ ya usiku,

      Wakati usingizi mzito unapowashika wanadamu,

      Wakati wa kusinzia kitandani.+

  • Yeremia 23:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nabii ambaye ana ndoto, na asimulie ndoto hiyo; lakini yule ambaye ana neno langu, na aliseme neno langu kwa ukweli.”+

      “Nyasi ina uhusiano gani na nafaka?”+ asema Yehova.

  • Danieli 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo Danieli akafunuliwa siri hiyo katika maono ya usiku.+ Basi Danieli akambariki+ Mungu wa mbinguni.

  • Danieli 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Katika mwaka wa tatu wa ufalme wa Mfalme Belshaza,+ kuna ndoto niliyoona, mimi, Danieli, baada ya ile iliyonitokea pale mwanzoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki