Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akasema: “Sikieni maneno yangu, tafadhali. Kungalikuwa na nabii kati yenu kwa ajili ya Yehova, ningalijijulisha kwake katika maono.+ Ningalisema naye katika ndoto.+

  • Ayubu 33:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Katika ndoto,+ maono+ ya usiku,

      Wakati usingizi mzito unapowashika wanadamu,

      Wakati wa kusinzia kitandani.+

  • Zaburi 25:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+

      Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+

  • Danieli 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Hata hivyo, kuna Mungu mbinguni ambaye ni Mfunuaji wa siri,+ naye amemjulisha Mfalme Nebukadneza mambo yatakayotokea katika siku za mwisho.+ Ndoto yako na maono ya kichwa chako kitandani mwako ndiyo haya:

  • 1 Wakorintho 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana ni nani kati ya wanadamu anayejua mambo ya mwanadamu isipokuwa roho+ ya mwanadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo, pia, hakuna ambaye amekuja kuyajua mambo ya Mungu, isipokuwa roho+ ya Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki