-
1 Wakorintho 2:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Kwa maana ni nani kati ya wanadamu anayejua mambo ya mwanadamu isipokuwa roho ya mwanadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo, hakuna ambaye ameyajua mambo ya Mungu, isipokuwa roho ya Mungu.
-
-
1 Wakorintho 2:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Kwa maana ni nani miongoni mwa wanadamu ayajuaye mambo ya mwanadamu isipokuwa roho ya mwanadamu iliyo katika yeye? Hivyo, pia, hakuna mwanadamu ambaye amekuja kuyajua mambo ya Mungu, isipokuwa roho ya Mungu.
-