-
1 Wakorintho 2:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Kwa maana ni nani miongoni mwa wanadamu ayajuaye mambo ya mwanadamu isipokuwa roho ya mwanadamu iliyo katika yeye? Hivyo, pia, hakuna mwanadamu ambaye amekuja kuyajua mambo ya Mungu, isipokuwa roho ya Mungu.
-