8 “Sasa njoo, iandike juu ya bamba pamoja nao, na uiandike katika kitabu,+ ili itumike kwa ajili ya siku ya baadaye, kuwa ushahidi mpaka wakati usio na kipimo.+
2 Yehova naye akanijibu na kusema: “Andika maono hayo, na kuyaweka waziwazi kwenye mabamba,+ ili anayeyasoma kwa sauti aweze kufanya hivyo kwa wepesi.+
16 Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia,+ kwa kunyoosha mambo,+ kwa kutia nidhamu+ katika uadilifu,
11 ikisema: “Yale unayoona yaandike+ katika kitabu cha kukunjwa kisha uyatume kwa yale makutaniko saba,+ katika Efeso+ na katika Smirna+ na katika Pergamamu+ na katika Thiatira+ na katika Sardi+ na katika Filadelfia+ na katika Laodikia.”+