14 Na mwanamke fulani anayeitwa Lidia, muuzaji wa nguo za rangi ya zambarau, wa jiji la Thiatira+ aliyekuwa mwabudu wa Mungu, alikuwa akisikiliza, na Yehova akafungua wazi moyo+ wake asikilize kwa makini mambo yaliyokuwa yakisemwa na Paulo.
18 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Thiatira+ andika: Haya ndiyo mambo ambayo Mwana+ wa Mungu anasema, yeye ambaye macho yake ni kama mwali wa moto,+ na miguu yake ni kama shaba safi,+