Luka 24:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Ndipo akafungua akili zao ili kuifahamu maana ya Maandiko,+ 1 Wakorintho 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 hivi kwamba yeye anayepanda si kitu+ wala yeye anayetia maji, bali Mungu anayeikuza.+