2 Wakorintho 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimekuwa mtu asiye na akili. Ninyi mlinilazimisha+ kuwa hivyo, kwa maana ninyi mlipaswa kunipendekeza. Kwa maana hata katika jambo moja sikuwa mdogo kwa mitume wenu walio bora sana,+ hata kama mimi si kitu.+ Wagalatia 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana yeyote akifikiri kuwa yeye ni kitu wakati yeye si kitu,+ anaidanganya akili yake mwenyewe.
11 Nimekuwa mtu asiye na akili. Ninyi mlinilazimisha+ kuwa hivyo, kwa maana ninyi mlipaswa kunipendekeza. Kwa maana hata katika jambo moja sikuwa mdogo kwa mitume wenu walio bora sana,+ hata kama mimi si kitu.+
3 Kwa maana yeyote akifikiri kuwa yeye ni kitu wakati yeye si kitu,+ anaidanganya akili yake mwenyewe.