Yohana 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mambo haya wanafunzi wake hawakuyajali hapo kwanza,+ lakini Yesu alipotukuzwa,+ ndipo walipokumbuka kwamba mambo haya yalikuwa yameandikwa juu yake na kwamba walimtendea mambo hayo.+
16 Mambo haya wanafunzi wake hawakuyajali hapo kwanza,+ lakini Yesu alipotukuzwa,+ ndipo walipokumbuka kwamba mambo haya yalikuwa yameandikwa juu yake na kwamba walimtendea mambo hayo.+