Luka 24:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Ndipo akafungua akili zao ili kuifahamu maana ya Maandiko,+ Yohana 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba atatuma katika jina langu, hiyo itawafundisha ninyi mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+
26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba atatuma katika jina langu, hiyo itawafundisha ninyi mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+