-
Yohana 12:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 Mambo haya wanafunzi wake hawakuyajali hapo kwanza, lakini Yesu alipopata kutukuzwa, ndipo walipokumbuka kwamba mambo haya yalikuwa yameandikwa kwa habari yake na kwamba walimfanya mambo haya.
-