Waroma 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hivyo basi, haitegemei yule anayetaka wala yule anayekimbia, bali hutegemea Mungu,+ aliye na rehema.+ 2 Wakorintho 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Huku tukifanya kazi pamoja naye,+ tunawasihi ninyi pia msipokee fadhili zisizostahiliwa za Mungu kisha mkose kusudi lake.+
16 Hivyo basi, haitegemei yule anayetaka wala yule anayekimbia, bali hutegemea Mungu,+ aliye na rehema.+
6 Huku tukifanya kazi pamoja naye,+ tunawasihi ninyi pia msipokee fadhili zisizostahiliwa za Mungu kisha mkose kusudi lake.+