-
Ufunuo 1:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 ikisema: “Lile ulionalo liandike katika hati-kunjo na ulipeleke kwenye makutaniko saba, katika Efeso na katika Smirna na katika Pergamamu na katika Thiatira na katika Sardisi na katika Filadelfia na katika Laodikia.”
-