11 ikisema: “Yale unayoona, yaandike katika kitabu cha kukunjwa kisha uyatume kwa yale makutaniko saba: katika Efeso,+ katika Smirna,+ katika Pergamamu,+ katika Thiatira,+ katika Sardi,+ katika Filadelfia,+ na katika Laodikia.”+
11 ikisema: “Yale unayoona yaandike+ katika kitabu cha kukunjwa kisha uyatume kwa yale makutaniko saba,+ katika Efeso+ na katika Smirna+ na katika Pergamamu+ na katika Thiatira+ na katika Sardi+ na katika Filadelfia+ na katika Laodikia.”+