Ufunuo 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Kwa malaika wa kutaniko lililo huko Sardi andika: Haya ndiyo mambo anayosema yule aliye na zile roho saba za Mungu+ na zile nyota saba:+ ‘Ninayajua matendo yako, kwamba una jina* kuwa uko hai, lakini umekufa.+
3 “Kwa malaika wa kutaniko lililo huko Sardi andika: Haya ndiyo mambo anayosema yule aliye na zile roho saba za Mungu+ na zile nyota saba:+ ‘Ninayajua matendo yako, kwamba una jina* kuwa uko hai, lakini umekufa.+