Wakolosai 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na mtakapokuwa mmesomewa barua hii, pangeni isomwe+ pia katika kutaniko la Walaodikia, nanyi pia msome ile ya kutoka Laodikia. Ufunuo 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Laodikia+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema Amina,+ shahidi+ mwaminifu+ na wa kweli,+ mwanzo wa uumbaji wa Mungu,+
16 Na mtakapokuwa mmesomewa barua hii, pangeni isomwe+ pia katika kutaniko la Walaodikia, nanyi pia msome ile ya kutoka Laodikia.
14 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Laodikia+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema Amina,+ shahidi+ mwaminifu+ na wa kweli,+ mwanzo wa uumbaji wa Mungu,+