Waefeso 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kupitia mapenzi ya Mungu, kwa watakatifu walio huko Efeso+ na walio waaminifu katika muungano na Kristo Yesu: Ufunuo 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Kwa malaika+ wa kutaniko lililo huko Efeso+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema yule anayeshika zile nyota saba kwenye mkono wake wa kuume, na kutembea kati ya vile vinara saba vya taa vya dhahabu:+
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kupitia mapenzi ya Mungu, kwa watakatifu walio huko Efeso+ na walio waaminifu katika muungano na Kristo Yesu:
2 “Kwa malaika+ wa kutaniko lililo huko Efeso+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema yule anayeshika zile nyota saba kwenye mkono wake wa kuume, na kutembea kati ya vile vinara saba vya taa vya dhahabu:+