Ufunuo 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Kwa malaika+ wa kutaniko lililo huko Efeso+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema yule anayeshika zile nyota saba kwenye mkono wake wa kuume, na kutembea kati ya vile vinara saba vya taa vya dhahabu:+ Ufunuo 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wewe pia unaonyesha uvumilivu, na umestahimili kwa ajili ya jina langu+ nawe hujachoka.+
2 “Kwa malaika+ wa kutaniko lililo huko Efeso+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema yule anayeshika zile nyota saba kwenye mkono wake wa kuume, na kutembea kati ya vile vinara saba vya taa vya dhahabu:+