Habakuki 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova naye akanijibu na kusema: “Andika maono hayo, na kuyaweka waziwazi kwenye mabamba,+ ili anayeyasoma kwa sauti aweze kufanya hivyo kwa wepesi.+
2 Yehova naye akanijibu na kusema: “Andika maono hayo, na kuyaweka waziwazi kwenye mabamba,+ ili anayeyasoma kwa sauti aweze kufanya hivyo kwa wepesi.+