7 “Kwa malaika wa kutaniko lililo huko Filadelfia andika: Haya ndiyo mambo anayosema yule aliye mtakatifu,+ aliye wa kweli,+ aliye na ufunguo wa Daudi,+ anayefungua hivi kwamba hakuna yeyote atakayefunga na anayefunga hivi kwamba hakuna yeyote anayefungua: