Yeremia 27:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na mataifa yote lazima wamtumikie yeye+ na mwana wake na mjukuu wake mpaka uje wakati wa nchi yake mwenyewe,+ na mataifa mengi na wafalme wakuu watamtumikisha kama mtumishi.’+ Danieli 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mfalme Belshaza+ naye alifanya karamu kwa ajili ya wakuu wake elfu, naye akanywa divai mbele ya hao elfu.+ Danieli 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme Mkaldayo akauawa,+
7 Na mataifa yote lazima wamtumikie yeye+ na mwana wake na mjukuu wake mpaka uje wakati wa nchi yake mwenyewe,+ na mataifa mengi na wafalme wakuu watamtumikisha kama mtumishi.’+
5 Mfalme Belshaza+ naye alifanya karamu kwa ajili ya wakuu wake elfu, naye akanywa divai mbele ya hao elfu.+