14 Kwa maana hata wao wenyewe, mataifa mengi na wafalme wakubwa,+ wamewatumia vibaya kama watumishi;+ nami nitawalipa kulingana na matendo yao na kulingana na kazi ya mikono yao.’”+
11 “Isugueni mishale.+ Jazeni ngao za mviringo. Yehova ameiamsha roho ya wafalme wa Wamedi,+ kwa sababu wazo lake liko juu ya Babiloni,+ ili kumharibu. Kwa maana hicho ni kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+