Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 137:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee binti Babiloni, ambaye utaporwa,+

      Atakuwa ni mwenye furaha yeye atakayekupa thawabu+

      Ya matendo yako mwenyewe ambayo ulitutendea.+

  • Yeremia 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Na itatukia kwamba miaka 70 itakapotimia+ nitatoza hesabu juu ya mfalme wa Babiloni na juu ya taifa lake,’+ asema Yehova, ‘kwa sababu ya kosa lao, juu ya nchi ya Wakaldayo,+ nami nitaifanya kuwa mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yeremia 50:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Jipangeni juu ya Babiloni kila upande,+ ninyi nyote mnaokanyaga upinde.+ Mpigeni mishale.+ Msiuache mshale wowote, kwa maana yeye amemtendea dhambi Yehova.+

  • Yeremia 50:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Waueni ng’ombe-dume zake wote wachanga.+ Na washuke kwenda machinjoni.+ Ole wao, kwa maana siku yao imefika, wakati wa kuwakazia fikira!+

  • Danieli 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Hii ndiyo tafsiri ya neno: MENE, Mungu amehesabu siku za ufalme wako naye ameukomesha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki