Methali 20:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Divai ni mdhihaki,+ kileo husababisha msukosuko,+ na kila mtu anayepotezwa nacho hana hekima.+ Isaya 28:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ole wake taji lenye utukufu la walevi wa Efraimu,+ na ua linalonyauka la pambo lake la uzuri lililo juu ya kichwa cha bonde lenye rutuba la wale ambao divai imewashinda nguvu!
28 Ole wake taji lenye utukufu la walevi wa Efraimu,+ na ua linalonyauka la pambo lake la uzuri lililo juu ya kichwa cha bonde lenye rutuba la wale ambao divai imewashinda nguvu!