Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 13:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na ikawa, baada ya miaka miwili kamili, Absalomu akawa na watu wenye kukata manyoya ya kondoo+ kule Baal-hasori, karibu na Efraimu;+ naye Absalomu akawaalika wana wote wa mfalme.+

  • 1 Wafalme 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na chakula cha Sulemani cha kila siku kwa ukawaida kilikuwa vipimo 30 vya kori+ vya unga laini na vipimo 60 vya kori vya unga,

  • Esta 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hata siku hizo zilipotimia, kwa siku saba mfalme akawafanyia karamu watu wote waliokuwa katika ngome ya Shushani, wakubwa kwa wadogo, katika ua wa bustani ya jumba la kifalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki