Methali 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yeyote aliye mpumbavu hudharau nidhamu ya baba yake,+ lakini mtu yeyote anayejali karipio ni mwerevu.+ Methali 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yeye anayemtendea vibaya baba yake na ambaye humfukuza mama yake+ ni mwana anayetenda kwa aibu na bila heshima.+ Methali 30:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jicho ambalo humdhihaki baba na kudharau utii kwa mama+—kunguru wa bondeni wataling’oa na wana wa tai watalila.
5 Yeyote aliye mpumbavu hudharau nidhamu ya baba yake,+ lakini mtu yeyote anayejali karipio ni mwerevu.+
26 Yeye anayemtendea vibaya baba yake na ambaye humfukuza mama yake+ ni mwana anayetenda kwa aibu na bila heshima.+
17 Jicho ambalo humdhihaki baba na kudharau utii kwa mama+—kunguru wa bondeni wataling’oa na wana wa tai watalila.