Methali 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Usiwe kati ya watu wanaokunywa divai mno,+ kati ya watu wanaokula nyama kwa ulafi.+ Methali 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwana mwenye uelewaji anashika sheria,+ lakini anayeshirikiana na walafi humletea baba yake aibu.+