Methali 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwana mwenye uelewaji anashika sheria,+ lakini anayeshirikiana na walafi humletea baba yake aibu.+ Tito 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mtu fulani kati yao, nabii wao wenyewe, alisema: “Wakrete ni waongo sikuzote, wanyama-mwitu wenye kudhuru,+ walafi wasiofanya kazi.”
12 Mtu fulani kati yao, nabii wao wenyewe, alisema: “Wakrete ni waongo sikuzote, wanyama-mwitu wenye kudhuru,+ walafi wasiofanya kazi.”