Methali 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Usiwe kati ya watu wanaokunywa divai mno,+ kati ya watu wanaokula nyama kwa ulafi.+ 1 Wakorintho 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Msipotoshwe. Mashirika mabaya huharibu tabia nzuri.+