Zaburi 140:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wameunoa ulimi wao kama ule wa nyoka;+Sumu ya kipiri-pembe iko chini ya midomo yao.+ Sela. Matendo 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini wao walikuwa wakitarajia atavimba kwa sababu ya mwasho au kwa ghafula aanguke na kufa. Baada ya kungojea kwa muda mrefu na kuona kwamba hakuna jambo lolote baya lililompata, wakabadili maoni yao na kuanza kusema kwamba yeye ni mungu.+
6 Lakini wao walikuwa wakitarajia atavimba kwa sababu ya mwasho au kwa ghafula aanguke na kufa. Baada ya kungojea kwa muda mrefu na kuona kwamba hakuna jambo lolote baya lililompata, wakabadili maoni yao na kuanza kusema kwamba yeye ni mungu.+