Matendo 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na umati, walipoona jambo ambalo Paulo alikuwa amefanya, wakapaaza sauti, wakisema katika lugha ya Kilikaonia: “Miungu+ imekuwa kama binadamu nayo imeshuka kwetu!”
11 Na umati, walipoona jambo ambalo Paulo alikuwa amefanya, wakapaaza sauti, wakisema katika lugha ya Kilikaonia: “Miungu+ imekuwa kama binadamu nayo imeshuka kwetu!”