Matendo 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao watu waliokusanyika wakaanza kupaaza sauti: “Ni sauti ya mungu, wala si ya mwanadamu!”+ Matendo 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini wao walikuwa wakitarajia atavimba kwa sababu ya mwasho au kwa ghafula aanguke na kufa. Baada ya kungojea kwa muda mrefu na kuona kwamba hakuna jambo lolote baya lililompata, wakabadili maoni yao na kuanza kusema kwamba yeye ni mungu.+
6 Lakini wao walikuwa wakitarajia atavimba kwa sababu ya mwasho au kwa ghafula aanguke na kufa. Baada ya kungojea kwa muda mrefu na kuona kwamba hakuna jambo lolote baya lililompata, wakabadili maoni yao na kuanza kusema kwamba yeye ni mungu.+