Hesabu 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mara moja Musa akafanya nyoka wa shaba+ na kumweka juu ya nguzo ya ishara;+ na ikawa kwamba nyoka alipomuuma mtu naye akamtazama+ yule nyoka wa shaba, ndipo alipoendelea kuwa hai.+ Yeremia 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Kwa maana tazama, ninawatuma nyoka katikati yenu, nyoka wenye sumu,+ wasioweza kutumbuizwa,+ na hakika wao watawauma ninyi,” asema Yehova.
9 Mara moja Musa akafanya nyoka wa shaba+ na kumweka juu ya nguzo ya ishara;+ na ikawa kwamba nyoka alipomuuma mtu naye akamtazama+ yule nyoka wa shaba, ndipo alipoendelea kuwa hai.+
17 “Kwa maana tazama, ninawatuma nyoka katikati yenu, nyoka wenye sumu,+ wasioweza kutumbuizwa,+ na hakika wao watawauma ninyi,” asema Yehova.