Ezekieli 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Mwana wa binadamu, hivi ndivyo watu wa* Israeli wanavyosema, ‘Maono anayoona ni ya muda mrefu kutoka sasa, naye anatabiri kuhusu wakati ujao ulio mbali.’+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12:27 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 17
27 “Mwana wa binadamu, hivi ndivyo watu wa* Israeli wanavyosema, ‘Maono anayoona ni ya muda mrefu kutoka sasa, naye anatabiri kuhusu wakati ujao ulio mbali.’+