Ezekieli 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Mwana wa binadamu, tazama! Wale wa nyumba ya Israeli wanasema, ‘Maono anayoona ni ya siku nyingi zinazokuja, naye anatoa unabii kuhusu nyakati zilizo mbali.’+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12:27 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 17
27 “Mwana wa binadamu, tazama! Wale wa nyumba ya Israeli wanasema, ‘Maono anayoona ni ya siku nyingi zinazokuja, naye anatoa unabii kuhusu nyakati zilizo mbali.’+