2 Wafalme 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Rudi, umwambie Hezekia kiongozi+ wa watu wangu, ‘Yehova, Mungu+ wa Daudi babu yako, amesema hivi: “Nimeisikia+ sala+ yako. Nimeyaona machozi+ yako. Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+ Zaburi 103:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeye anayesamehe makosa yako yote,+Anayeponya magonjwa yako yote,+
5 “Rudi, umwambie Hezekia kiongozi+ wa watu wangu, ‘Yehova, Mungu+ wa Daudi babu yako, amesema hivi: “Nimeisikia+ sala+ yako. Nimeyaona machozi+ yako. Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+