Zaburi 66:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitaingia nyumbani kwako nikiwa na matoleo mazima ya kuteketezwa;+Nitakutimizia nadhiri zangu.+ Zaburi 116:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nadhiri zangu nitamtimizia Yehova,+Naam, mbele ya watu wake wote. Zaburi 121:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 121 Nitainua macho yangu milimani.+Msaada wangu utatoka wapi?+