Ayubu 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Uso wangu umekuwa mwekundu kwa sababu ya kulia,+Na kuna kivuli kizito juu ya kope zangu,+ Zaburi 39:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+ Zaburi 126:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wale wanaopanda mbegu kwa machozi+Watavuna kwa vigelegele vya shangwe.+
12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+