Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Uso wangu umekuwa mwekundu kwa sababu ya kulia,+

      Na kuna kivuli kizito juu ya kope zangu,+

  • Zaburi 39:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Uisikie sala yangu, Ee Yehova,

      Na usikilize kilio changu cha kutaka msaada.+

      Usikae kimya machozi yangu yanapotoka.+

      Kwa maana, kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+

      Mhamiaji kama vile mababu zangu wote.+

  • Zaburi 126:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wale wanaopanda mbegu kwa machozi+

      Watavuna kwa vigelegele vya shangwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki