Zaburi 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova mwenyewe atasikia kwelikweli ombi langu la kutaka kibali;+Yehova ataikubali sala yangu.+ Zaburi 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Huyu mwenye kuteseka aliita, na Yehova mwenyewe akasikia.+Na Yeye akamwokoa kutoka katika taabu zake zote.+ Zaburi 65:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee msikiaji wa sala, kwako wewe watu wote wenye mwili watakuja.+ Zaburi 116:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 116 Ninajawa na upendo, kwa sababu Yehova husikia+Sauti yangu, kusihi kwangu.+ Maombolezo 3:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Uisikilize sauti yangu.+ Usifiche sikio lako kwa ombi langu la kitulizo, kwa kilio changu cha kuomba msaada.+ 1 Yohana 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+
6 Huyu mwenye kuteseka aliita, na Yehova mwenyewe akasikia.+Na Yeye akamwokoa kutoka katika taabu zake zote.+
56 Uisikilize sauti yangu.+ Usifiche sikio lako kwa ombi langu la kitulizo, kwa kilio changu cha kuomba msaada.+
22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+