Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yehova mwenyewe atasikia kwelikweli ombi langu la kutaka kibali;+

      Yehova ataikubali sala yangu.+

  • Zaburi 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Huyu mwenye kuteseka aliita, na Yehova mwenyewe akasikia.+

      Na Yeye akamwokoa kutoka katika taabu zake zote.+

  • Zaburi 65:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ee msikiaji wa sala, kwako wewe watu wote wenye mwili watakuja.+

  • Zaburi 116:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 116 Ninajawa na upendo, kwa sababu Yehova husikia+

      Sauti yangu, kusihi kwangu.+

  • Maombolezo 3:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 Uisikilize sauti yangu.+ Usifiche sikio lako kwa ombi langu la kitulizo, kwa kilio changu cha kuomba msaada.+

  • 1 Yohana 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki