Zaburi 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sauti yangu nitamwita Yehova,Naye atanijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.+ Sela. Zaburi 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ondokeni kwangu, ninyi nyote mnaozoea kutenda mambo yenye kuumiza,+Kwa maana hakika Yehova atasikia sauti ya kulia kwangu.+ Zaburi 116:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 116 Ninajawa na upendo, kwa sababu Yehova husikia+Sauti yangu, kusihi kwangu.+
8 Ondokeni kwangu, ninyi nyote mnaozoea kutenda mambo yenye kuumiza,+Kwa maana hakika Yehova atasikia sauti ya kulia kwangu.+