Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa sauti yangu nitamwita Yehova,

      Naye atanijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.+ Sela.

  • Zaburi 145:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+

      Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.+

  • Isaya 30:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wakati watu walio katika Sayuni+ watakapokaa katika Yerusalemu,+ wewe hutalia kwa vyovyote.+ Yeye hakika atakuonyesha kibali unapotoa sauti ya kilio chako; mara tu atakapokisikia kwa kweli atakujibu.+

  • Waebrania 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki