23 Na mbele za Yehova Mungu wako, katika mahali ambapo atachagua ili jina lake likae hapo, utakula sehemu ya kumi ya nafaka yako,+ divai yako mpya na mafuta yako na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yako na wa kundi lako;+ ili ujifunze kumwogopa Yehova Mungu wako sikuzote.+