Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na mbele za Yehova Mungu wako, katika mahali ambapo atachagua ili jina lake likae hapo, utakula sehemu ya kumi ya nafaka yako,+ divai yako mpya na mafuta yako na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yako na wa kundi lako;+ ili ujifunze kumwogopa Yehova Mungu wako sikuzote.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nawe utatoa dhabihu ya pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ mnyama wa kundi na wa mifugo,+ katika mahali ambapo Yehova atapachagua kuweka jina lake.+

  • Kumbukumbu la Torati 26:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 utachukua pia sehemu ya matunda ya kwanza ya mazao ya udongo, ambayo utaleta ndani kutoka katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nawe utayatia katika kikapu na kwenda mahali ambapo Yehova+ Mungu wako atachagua ili jina lake likae hapo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki