Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Yaliyo bora zaidi kati ya matunda ya kwanza yaliyoiva ya udongo wako utayaleta katika nyumba ya Yehova Mungu wako.+

      “Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.+

  • Mambo ya Walawi 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Mwishowe mtakapoingia katika nchi ambayo nitawapa ninyi, nanyi mtakapokuwa mmevuna mavuno yake, mtaleta pia mganda wa matunda ya kwanza+ ya mavuno yenu kwa kuhani.

  • Hesabu 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Vyote vilivyo bora katika mafuta na vyote vilivyo bora katika divai mpya na nafaka, matunda yao ya kwanza,+ ambayo watampa Yehova, nimekupa wewe.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na mara tu lile neno lilipoenea, wana wa Israeli+ wakazidisha mazao ya kwanza ya nafaka,+ divai mpya,+ na mafuta+ na asali+ na mazao yote ya shamba,+ nao wakaleta kwa wingi sehemu ya kumi ya kila kitu.+

  • Nehemia 10:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 na kuleta kwenye nyumba ya Yehova matunda ya kwanza yaliyoiva ya udongo wetu+ na matunda ya kwanza yaliyoiva ya mazao yote ya kila namna ya mti,+ mwaka baada ya mwaka;

  • Methali 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani+ na kwa matunda ya kwanza ya mazao yako yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki