2 Wafalme 17:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi mfalme wa Ashuru akaleta watu kutoka Babiloni+ na Kutha na Ava+ na Hamathi+ na Sefarvaimu,+ akawakalisha katika majiji ya Samaria+ badala ya wana wa Israeli; nao wakaanza kumiliki Samaria na kukaa katika majiji yake. Isaya 36:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Iko wapi miungu ya Hamathi+ na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu?+ Na je, imekomboa Samaria kutoka mkononi mwangu?+
24 Basi mfalme wa Ashuru akaleta watu kutoka Babiloni+ na Kutha na Ava+ na Hamathi+ na Sefarvaimu,+ akawakalisha katika majiji ya Samaria+ badala ya wana wa Israeli; nao wakaanza kumiliki Samaria na kukaa katika majiji yake.
19 Iko wapi miungu ya Hamathi+ na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu?+ Na je, imekomboa Samaria kutoka mkononi mwangu?+