7 Pia, katika siku za Artashasta, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli na wale wenzake walimwandikia Artashasta mfalme wa Uajemi, na maandishi ya barua hiyo yaliandikwa kwa herufi za Kiaramu na kutafsiriwa katika lugha ya Kiaramu.+
4 Basi Wakaldayo wakasema na mfalme katika lugha ya Kiaramu:+ “Ee mfalme, uishi mpaka wakati usio na kipimo.+ Waambie watumishi wako ndoto hiyo, nasi tutaonyesha tafsiri yake.”+