3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+
21 Na katika kila kazi aliyoanza katika utumishi+ wa nyumba ya Mungu wa kweli na katika sheria+ na katika amri ili kumtafuta+ Mungu wake, alitenda kwa moyo wake wote,+ naye akafanikiwa.+