2 Mambo ya Nyakati 29:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na, pia, matoleo ya kuteketezwa+ yalikuwa mengi sana pamoja na vipande vya mafuta+ vya dhabihu za ushirika+ pamoja na matoleo ya kinywaji+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa. Hivyo utumishi wa nyumba ya Yehova ukatayarishwa.+
35 Na, pia, matoleo ya kuteketezwa+ yalikuwa mengi sana pamoja na vipande vya mafuta+ vya dhabihu za ushirika+ pamoja na matoleo ya kinywaji+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa. Hivyo utumishi wa nyumba ya Yehova ukatayarishwa.+