2 Mambo ya Nyakati 29:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Pia, kulikuwa na dhabihu nyingi za kuteketezwa,+ na vilevile vipande vya mafuta vya dhabihu za ushirika+ na matoleo ya vinywaji kwa ajili ya dhabihu za kuteketezwa.+ Hivyo utumishi wa nyumba ya Yehova ukaanzishwa tena.*
35 Pia, kulikuwa na dhabihu nyingi za kuteketezwa,+ na vilevile vipande vya mafuta vya dhabihu za ushirika+ na matoleo ya vinywaji kwa ajili ya dhabihu za kuteketezwa.+ Hivyo utumishi wa nyumba ya Yehova ukaanzishwa tena.*